Skip to content
Kutoka 40:12-13

Kutoka 40:12-13

12
“Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.
13
Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options