Skip to content
Kutoka 4:30-31

Kutoka 4:30-31

30
naye Aroni akawaambia kila kitu Bwana alichokuwa amemwambia Mose. Pia akafanya ishara mbele ya watu,
31
nao wakaamini. Nao waliposikia kuwa Bwana anajishughulisha nao, na kwamba ameona mateso yao, walisujudu na kuabudu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options