Skip to content
Kutoka 37:4-5

Kutoka 37:4-5

4
Kisha akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.
5
Akaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options