Kutoka 36:6-7
6
Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka neno hili katika kambi yote: “Mtu yeyote mwanaume au mwanamke asilete tena kitu chochote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.” Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi,
7
kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.