Skip to content
Kutoka 32:27-28

Kutoka 32:27-28

27
Ndipo alipowaambia, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Kila mmoja wenu ajifunge upanga wake kiunoni aende huku na huko kambi yote mwisho hadi mwisho mwingine, kila mmoja amuue ndugu yake, na rafiki yake na jirani yake.’ ”
28
Walawi wakafanya kama Mose alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao 3,000.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options