Skip to content
Kutoka 32:17-18

Kutoka 32:17-18

17
Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga kelele, akamwambia Mose, “Kuna sauti ya vita kambini.”
18
Mose akajibu: “Si sauti ya ushindi, wala si sauti ya kushindwa; ni sauti ya kuimba ninayosikia.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options