Skip to content
Kutoka 30:37-38

Kutoka 30:37-38

37
Msitengeneze uvumba mwingine wowote wa namna hii kwa ajili yenu wenyewe; uoneni kuwa ni mtakatifu kwa Bwana.
38
Yeyote atakayetengeneza uvumba kama huu ili kufurahia harufu yake nzuri lazima akatiliwe mbali na watu wake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options