Ugrás a tartalomhoz
Kutoka 30:11-13

Kutoka 30:11-13

11
Naye Bwana akamwambia Mose,
12
“Utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja lazima alipe kwa Bwana fidia kwa ajili ya nafsi yake wakati wa kuhesabiwa kwake. Ndipo hakutakuwa na pigo juu yao unapowahesabu.
13
Kila mmoja anayekwenda upande wa wale waliokwisha hesabiwa atatoa nusu shekeli, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, ambayo ina uzito wa gera ishirini. Hii nusu shekeli ni sadaka kwa Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options