Skip to content
Kutoka 30:11-12

Kutoka 30:11-12

11
Naye Bwana akamwambia Mose,
12
“Utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja lazima alipe kwa Bwana fidia kwa ajili ya nafsi yake wakati wa kuhesabiwa kwake. Ndipo hakutakuwa na pigo juu yao unapowahesabu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options