본문으로 건너뛰기
Kutoka 30:1-2

Kutoka 30:1-2

1
“Tengeneza madhabahu kwa mbao za mshita kwa ajili ya kufukizia uvumba.
2
Madhabahu hayo yawe mraba, urefu na upana wake dhiraa moja, na kimo cha dhiraa mbili, nazo pembe zake zitakuwa kitu kimoja nayo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options