Skip to content
Kutoka 28:9-12

Kutoka 28:9-12

9
“Chukua vito viwili vya shohamu, na uchore juu yake majina ya wana wa Israeli
10
kufuatana na walivyozaliwa: majina sita katika kito kimoja, na mengine sita katika kito kingine.
11
Yachore majina ya wana wa Israeli juu ya vito hivyo viwili kama vile sonara anavyochonga muhuri. Kisha uvitie vito hivyo katika vijalizo vya dhahabu,
12
na uvifungie juu ya vipande vya mabega ya kisibau yawe kama vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli. Aroni atavaa majina hayo mabegani mwake kama kumbukumbu mbele za Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options