Skip to content
Kutoka 28:36-37

Kutoka 28:36-37

36
“Tengeneza bamba la dhahabu safi na uchore juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: Mtakatifu kwa Bwana.
37
Lifunge hilo bamba kwa kamba ya buluu kwenye kilemba, nalo ni lazima liwe mbele ya kilemba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options