Skip to content
Kutoka 28:36-37

Kutoka 28:36-37

36
“Tengeneza bamba la dhahabu safi na uchore juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: Mtakatifu kwa Bwana.
37
Lifunge hilo bamba kwa kamba ya buluu kwenye kilemba, nalo ni lazima liwe mbele ya kilemba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options