Skip to content
Kutoka 28:2-3

Kutoka 28:2-3

2
Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.
3
Waambie mafundi stadi wote niliowapa hekima katika shughuli hiyo wamtengenezee Aroni mavazi hayo, ili awekwe wakfu, anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options