Skip to content
Kutoka 28:2-3

Kutoka 28:2-3

2
Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.
3
Waambie mafundi stadi wote niliowapa hekima katika shughuli hiyo wamtengenezee Aroni mavazi hayo, ili awekwe wakfu, anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options