Skip to content
Kutoka 28:19-20

Kutoka 28:19-20

19
safu ya tatu itakuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;
20
na safu ya nne itakuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo vya dhahabu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options