Kutoka 28:17-20
17
Kisha weka safu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya kwanza itakuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;
18
katika safu ya pili itakuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;
19
safu ya tatu itakuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;
20
na safu ya nne itakuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo vya dhahabu.
Settings