Aller au contenu
Kutoka 28:1-2

Kutoka 28:1-2

1
“Mtwae Aroni ndugu yako aliyeletwa kwako kutoka miongoni mwa Waisraeli, pamoja na wanawe Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
2
Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options