Skip to content
Kutoka 28:1-2

Kutoka 28:1-2

1
“Mtwae Aroni ndugu yako aliyeletwa kwako kutoka miongoni mwa Waisraeli, pamoja na wanawe Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
2
Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options