Skip to content
Kutoka 27:6-7

Kutoka 27:6-7

6
Tengeneza mipiko ya mti wa mshita kwa ajili ya madhabahu, na uifunike kwa shaba.
7
Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete ili iwe pande mbili za madhabahu inapobebwa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options