Kutoka 25:13-15
13
Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.
14
Utaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.
15
Hiyo mipiko itabakia daima katika hizo pete za hilo Sanduku; haitaondolewa.