Skip to content
Kutoka 24:15-16

Kutoka 24:15-16

15
Mose alipopanda juu mlimani, wingu liliufunika huo mlima,
16
nao utukufu wa Bwana ukatua juu ya Mlima Sinai. Kwa muda wa siku sita wingu lilifunika mlima, na siku ya saba Bwana akamwita Mose kutoka katikati ya lile wingu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options