Skip to content
Kutoka 23:25-26

Kutoka 23:25-26

25
Utamwabudu Bwana Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako,
26
na hakuna atakayeharibu mimba wala atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami nitakupa maisha makamilifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options