Skip to content
Kutoka 2:7-8

Kutoka 2:7-8

7
Ndipo dada wa huyo mtoto akamuuliza binti Farao, “Je, niende nikakutafutie mmoja wa wanawake wa Kiebrania akulelee huyu mtoto?”
8
Binti Farao akamjibu, “Ndiyo, nenda.” Yule msichana akaenda akamleta mama wa mtoto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options