Skip to content
Kutoka 10:16-18

Kutoka 10:16-18

16
Farao akawaita Mose na Aroni kwa haraka na kuwaambia, “Nimetenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wenu na dhidi yenu pia.
17
Sasa unisamehe dhambi yangu mara moja tena na umwombe Bwana Mungu wako aondoe pigo hili baya kwangu.”
18
Kisha Mose akaondoka kwa Farao akamwomba Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options