Skip to content
Esta 4:15-16

Esta 4:15-16

15
Kisha Esta alituma jibu hili kwa Mordekai:
16
“Nenda, kusanya pamoja Wayahudi wote walioko Shushani, nanyi mfunge kwa ajili yangu. Msile wala kunywa kwa siku tatu, usiku na mchana. Mimi na wajakazi wangu tutafunga kama mnavyofanya. Baada ya kufanyika hili, nitakwenda kwa mfalme, hata ingawa ni kinyume cha sheria. Ikiwa ni kuangamia na niangamie.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options