Skip to content
Waefeso 6:11-12

Waefeso 6:11-12

11
Vaeni silaha zote za Mungu ili kwamba mweze kuzipinga hila za ibilisi.
12
Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options