Skip to content
Waefeso 2:20-21

Waefeso 2:20-21

20
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe kuu la pembeni.
21
Ndani yake jengo lote limeshikamanishwa pamoja na kusimamishwa ili kuwa Hekalu takatifu katika Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options