Skip to content
Waefeso 1:6-7

Waefeso 1:6-7

6
Kwa hiyo tunamsifu Mungu kwa huruma zake kuu alizotumiminia sisi katika Mwanawe Mpendwa.
7
Ndani yake tunao ukombozi kwa njia ya damu yake, yaani, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options