Skip to content
Mhubiri 9:5-6

Mhubiri 9:5-6

5
Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa, lakini wafu hawajui chochote, hawana tuzo zaidi, hata kumbukumbu yao imesahaulika.
6
Upendo wao, chuki yao na wivu wao vimetoweka tangu kitambo, kamwe hawatakuwa tena na sehemu katika lolote linalotendeka chini ya jua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options