Mhubiri 8:2-4
2
Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu.
3
Usiharakishe kuondoka mbele ya mfalme. Usiendelee kutenda lililo baya, kwa maana mfalme atafanya lolote apendalo.
4
Kwa kuwa neno la mfalme ndilo lenye mamlaka ya mwisho, nani awezaye kumwambia, “Je, wewe unafanya nini?”