Skip to content
Mhubiri 7:23-24

Mhubiri 7:23-24

23
Yote haya niliyajaribu kwa hekima, nikasema, “Nimeamua kuwa na hekima”: lakini hii ilikuwa nje ya uwezo wangu.
24
Vyovyote hekima ilivyo, hekima iko mbali sana na imejificha, ni nani awezaye kuigundua?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options