Skip to content
Mhubiri 7:23-24

Mhubiri 7:23-24

23
Yote haya niliyajaribu kwa hekima, nikasema, “Nimeamua kuwa na hekima”: lakini hii ilikuwa nje ya uwezo wangu.
24
Vyovyote hekima ilivyo, hekima iko mbali sana na imejificha, ni nani awezaye kuigundua?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options