Skip to content
Mhubiri 7:11-12

Mhubiri 7:11-12

11
Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema na huwafaidia wale walionalo jua.
12
Hekima ni ulinzi kama fedha ilivyo ulinzi, lakini faida ya maarifa ni hii: kwamba hekima huhifadhi maisha ya aliye nayo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options