Skip to content
Mhubiri 4:13-14

Mhubiri 4:13-14

13
Afadhali kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.
14
Kijana huyo angeweza kutokea gerezani akapata ufalme, au angeweza kuwa amezaliwa katika umaskini kwenye huo ufalme.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options