Skip to content
Mhubiri 3:12-13

Mhubiri 3:12-13

12
Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi.
13
Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options