Skip to content
Mhubiri 3:1-2

Mhubiri 3:1-2

1
Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo, nayo majira kwa kila tendo chini ya mbingu:
2
wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kungʼoa yaliyopandwa,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options