Skip to content
Mhubiri 2:4-7

Mhubiri 2:4-7

4
Nikafanya miradi mikubwa: Nikajijengea majumba na kulima mashamba ya mizabibu.
5
Nikatengeneza bustani na viwanja vya starehe nikaotesha huko kila aina ya miti ya matunda.
6
Nikajenga mabwawa ya kukusanya maji ya kunyweshea hii miti iliyokuwa inastawi vizuri.
7
Nikanunua watumwa wa kiume na wa kike na watumwa wengine walizaliwa nyumbani mwangu. Pia nilikuwa na makundi ya ngʼombe, kondoo na mbuzi kuliko mtu yeyote aliyewahi kuishi Yerusalemu kabla yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options