Skip to content
Mhubiri 2:4-6

Mhubiri 2:4-6

4
Nikafanya miradi mikubwa: Nikajijengea majumba na kulima mashamba ya mizabibu.
5
Nikatengeneza bustani na viwanja vya starehe nikaotesha huko kila aina ya miti ya matunda.
6
Nikajenga mabwawa ya kukusanya maji ya kunyweshea hii miti iliyokuwa inastawi vizuri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options