Skip to content
Mhubiri 2:24-25

Mhubiri 2:24-25

24
Hakuna kitu bora anachoweza kufanya mtu zaidi ya kula na kunywa na kuridhika katika kazi yake. Hili nalo pia, ninaona, latokana na mkono wa Mungu,
25
kwa sababu pasipo yeye, ni nani awezaye kula na kufurahi?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options