Skip to content
Mhubiri 2:22-23

Mhubiri 2:22-23

22
Mtu atapata nini kwa taabu yote na kuhangaika kwa bidii katika kazi anayotaabikia chini ya jua?
23
Siku zake zote kazi yake ni maumivu na masikitiko, hata usiku akili yake haipati mapumziko. Hili nalo pia ni ubatili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options