Skip to content
Mhubiri 2:1-2

Mhubiri 2:1-2

1
Nikafikiri moyoni mwangu, “Haya basi, nitakujaribu kwa anasa nione ni lipi lililo jema.” Lakini hilo nalo likaonekana ni ubatili.
2
Nikasema, “Kicheko nacho ni upumbavu. Nayo matokeo ya anasa ni nini?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options