Skip to content
Mhubiri 12:13-14

Mhubiri 12:13-14

13
Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa: Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.
14
Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au baya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options