5
Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:
6
Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu, wakati matajiri hushika nafasi za chini.
7
Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea kwa miguu kama watumwa.