Skip to content
Mhubiri 1:4-8

Mhubiri 1:4-8

4
Vizazi huja na vizazi hupita, lakini dunia inadumu milele.
5
Jua huchomoza na jua huzama, nalo huharakisha kurudi mawioni.
6
Upepo huvuma kuelekea kusini na kugeukia kaskazini, hurudia mzunguko huo huo, daima ukirudia njia yake.
7
Mito yote hutiririka baharini, hata hivyo bahari kamwe haijai. Mahali mito inapotoka, huko hurudi tena.
8
Vitu vyote vinachosha, zaidi kuliko mtu anavyoweza kusema. Jicho kamwe halitosheki kutazama, wala sikio halishibi kusikia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options