Skip to content
Mhubiri 1:3-7

Mhubiri 1:3-7

3
Mwanadamu anafaidi nini kutokana na kazi yake yote anayotaabikia chini ya jua?
4
Vizazi huja na vizazi hupita, lakini dunia inadumu milele.
5
Jua huchomoza na jua huzama, nalo huharakisha kurudi mawioni.
6
Upepo huvuma kuelekea kusini na kugeukia kaskazini, hurudia mzunguko huo huo, daima ukirudia njia yake.
7
Mito yote hutiririka baharini, hata hivyo bahari kamwe haijai. Mahali mito inapotoka, huko hurudi tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options