Skip to content
Kumbukumbu 9:22-24

Uasi wa Kuendelea Jangwani

Kumbukumbu 9:22-24
22
Pia mlimkasirisha Bwana huko Tabera, Masa na Kibroth-Hataava.
23
Vilevile wakati Bwana alipowatuma kutoka Kadesh-Barnea, alisema, “Kweeni, mkaimiliki nchi ambayo nimewapa.” Lakini mliasi dhidi ya agizo la Bwana Mungu wenu. Hamkumtegemea wala kumtii.
24
Mmekuwa waasi dhidi ya Bwana tangu nilipowajua ninyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options