Skip to content
Kumbukumbu 7:9-11

Kumbukumbu 7:9-11

9
Basi ujue kwamba Bwana Mungu wako ndiye Mungu; ni Mungu mwaminifu, anayetunza Agano la upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale wanaompenda na kuzishika amri zake.
10
Lakini kwa wale wanaomchukia atawalipiza kwenye nyuso zao kwa maangamizi; hatachelewa kuwalipiza kwenye nyuso zao wale wamchukiao.
11
Kwa hiyo, kuweni waangalifu kufuata maagizo, amri na sheria ninazowapa leo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options