Skip to content
Kumbukumbu 6:24-25

Kumbukumbu 6:24-25

24
Bwana akatuagiza tutii amri hizi zote na kumcha Bwana Mungu wetu, ili tupate kustawi na kuendelea kuwa hai kama ilivyo leo.
25
Kama tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za Bwana Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, hiyo itakuwa haki yetu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options