Skip to content
Kumbukumbu 6:20-21

Kumbukumbu 6:20-21

20
Siku zijazo, mtoto wako atakapokuuliza, “Ni nini maana ya masharti haya, amri na sheria hizi ambazo Bwana Mungu wako alikuagiza wewe?”
21
Mwambie: “Tulikuwa watumwa wa Farao huko Misri, lakini Bwana alitutoa sisi kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options