Skip to content
Kumbukumbu 4:7-8

Kumbukumbu 4:7-8

7
Ni taifa gani jingine lililo kubwa kiasi cha kuwa na miungu yao iliyo karibu nao kama Bwana Mungu wetu alivyo karibu nasi wakati wowote tunapomwomba?
8
Nalo ni taifa gani jingine lililo kubwa hivi lenye kuwa na amri na sheria za haki kama hizi ninazoweka mbele yenu leo?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options