Skip to content
Kumbukumbu 4:23-24

Kumbukumbu 4:23-24

23
Jihadharini msilisahau Agano la Bwana Mungu wenu lile alilofanya nanyi; msijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote ambacho Bwana Mungu wenu amewakataza.
24
Kwa kuwa Bwana Mungu wenu ni moto ulao, Mungu mwenye wivu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options