Kumbukumbu 4:16-18
16
ili msije mkajichafua na kujitengenezea sanamu au kinyago chenye umbo lolote kama la mwanaume au mwanamke,
17
au kama mnyama aliye juu ya nchi au ndege yeyote arukaye angani,
18
au kama kiumbe kitambaacho juu ya ardhi au samaki yeyote aliye ndani ya maji.