Skip to content
Kumbukumbu 4:15-16

Kumbukumbu 4:15-16

15
Hamkuona umbo la aina yoyote siku ambayo Bwana alizungumza nanyi kule Horebu kutoka kwenye moto. Kwa hiyo mjihadhari kwa uangalifu sana,
16
ili msije mkajichafua na kujitengenezea sanamu au kinyago chenye umbo lolote kama la mwanaume au mwanamke,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options